gOOD nEWS: Baada ya Bill Gates, leo tena Waziri Ummy Mwalimu kakutana na Balozi Maalum wa Uhamasishaji kutoka Plan International.. #share




1
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiwakaribisha wageni waliombatana na Barozi wa Uhamasishaji masuala ya mimba na ndoa za utotoni Bi. Natalie Dormer wa Shirika la Kimataifa la Plan hawapo pichani katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya leo jijini Dar es Salaam.
2
Mkurugenzi wa Uhamasishaji Umma wa Shirika la Kimataifa la Plan Bwana Mike Thiedke kushoto na Bi Gyowneth Wong Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Plan Tanzania katikati pamoja na Mkurugenzi Msaidizi wa watoto bwana Misani wakifuatilia kwa makini mazungumzo kati ya ujumbe wa Mhe. Waziri leo katika ukumbi wa Wizara ya Afya jijini Dar es Salaam.
3
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akimsikiliza kwa makini Barozi wa Uhamasishaji masuala ya mimba na ndoa za utotoni Bi. Natalie Dormer wa Shirika la Kimataifa la Plan katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Afya leo jijini Dar es Salaam.
4
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe waliombatana na Barozi wa Uhamasishaji masuala ya mimba na ndoa za utotoni Bi. Natalie Dormer wa Shirika la Kimataifa la Plan.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search