JPM akutana leo na kufanya mazungumzo na Wakuu wa Majeshi wa sasa na Wastaafu...#share

Rais John Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wastaafu pamoja na viongozi wa sasa wa vyombo vya ulinzi na usalam


Taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU, Jaffar Haniu, imeeleza kuwa viongozi hao ni Wakuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Wakuu wa Jeshi la Polisi, Wakuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Wakuu wa Idara ya Uhamiaji, Wakuu wa Jeshi la Magereza na Wakuu wa Jeshi la Zimamoto



Pichani ni Rais Magufuli akizungumza na Wakuu wa Majeshi mbalimbali wa sasa na wastaafu
















About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search