Magazeti ya Hardnews & Sports Leo 16/08/2017: REVILED: Lissu & Wema 'mpaka kieleweke' atinga nae Mahakamani kumtetea,.. Wanafunzi wa Sayansi sasa 'watalamba' 40% Bodi ya Mikopo,.. . Msako wa Fedha za Escrow umetamalaki Ulaya,.. Simba yanasa 'uchawi wa Yanga Pemba'.. na Kenyatta ampiku JPM.. #share
Bodaboda sasa 'zageuka kuwa zimwi la kufyeka miguu ya watu',.. Karia kuanza kufyeka wababaishaji TFF, Yanga wamtimua Chirwa,.. Bodaboda marufuku kubeba watoto chini ya miaka 10... na Mabosi wa Jiji MBEYA wapandishwa Kortini..

No comments:
Post a Comment