Magazeti ya Leo 05/08/2017: JPM achefukwa na mabango ya 'mshahara kiduchu',.. 'mkojo wa Wema Sepetu' watinga Mahakamani,.. Lowasa atua Nairobi kumpa nguvu Uhuru.. na Wabunge wapya wa CUF sasa ni 'mwendo wa mjengoni'..

Mambo 10 'kufuru' mgao wa Makinikia,.. Kagame huyooo Ikulu,.. Polisi sasa wawatolea macho wauzaji vifaa vya umeme,.. Ng'ombe wa nane-nane aibwa,.. Majangili 1,700 wanaswa, 




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search