Mbunge Esther Bulaya apata ahueni Hospilini, awashukuru wapiga kura wake.. #share

TAARIFA KWA UMMA JUU YA HALI YA MH. MBUNGE ESTER A. BULAYA
          
Waananchi  wapendwa wa Jimbo la Bunda Mjini sambamba na watanzania wote nyote kwa umoja wenu nichukue fursa hii kuwashukru kwa maombi yenu kwa Mbunge wetu Mh. Ester A. Bulaya

Ifahamike kuwa alipatwa na tatizo katika njia ya kupumua baada kukoswa hewa ya kutosha na safi kwa muda mrefu akiwa rumande mjini Tarime ikiwa ni pamoja na pressure.

Hali ya Mhe Mbunge inaendelea vizuri na Kipekee kabisa anawashukuru wananchi  Jimbo la Bunda Mjini na Watanzania  kwa maombi yenu ambayo yamempa nafuu kubwa.

Kwa sasa bado yuko chini ya uangalizi wa mwisho wa madaktari wake kabla ya kuruhusiwa kuendelea na kazi zake.


Kaunya yohana
Katibu ofisi ya Mbunge jimbo la Bunda mjini

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search