Meya Mwita wa Ukawa 'aitolea macho' Bilioni 40 ya NSSF ndani ya Machinga Complex.. amtaka Waziri Simbachawene kuingilia kati.. #share
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam limemuomba waziri nchi ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa, George Simbachawene kuingilia mgogoro uliopo katiya Jiji hilo na mfuko wa hifadi ya jamii (NSFF) katika jengo la Dar es Salaam City Council Business Park (Machinga Complex) kutokana na jiji hilo kutakiwa kulipa Bilioni 40 kinyume na mkataba.
Pia jiji hilo limesema wako tayari kulikabidhi jengo hilo kwa NSSF ili wao waliendeshe ili waweze kurejesha fedha zilizotolewa na mfuko huo kama mkopo kwa halmashauri ya jiji ya ujenzi wa jengo hilo kutokana na jiji hilo kushindwa kulipa deni hilo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Meya wa Jiji hilo, Isaya Mwita amesema wamefiia hatua hiyo ya kuwataka viongozi wa serikalini pamoja na kurudisha jengo hilo kutokana na kutorizika na hatua ya NSSF kuwataka walipe bilioni 40 tofautisha na mkataba unavyotaka.
"Jiji la halmashauri ya jiji la Dar es Salaam ilingia mkataba na NSSF wa mkopo wa shilingi bilioni 10 kwa ajili ya ujenzi wa jengo hili mkataba huu ulifanyiwa nyongeza ya bilioni 12.45 na kufanya mkopo ambao tunadaiwa ni bilioni 12.45,''
''lakini makabidhiano ya jengo yalifanyika mwaka 2010 garama jengo ilikuwa ni Bilioni 12.7 kwa sasa kwamba eti deni hilo linaladaliwa kuwa zaidi ya bilioni 40"amesema Mwita.
Mwita ambaye ni meya wa anayeungwa mkono na Vyama vinavyounda ukawa amesema Halmashauri ya jiji hilo imebaini pia kuna ukiukwaji mkubwa wa kimkataba katika jengo hilo kwakuwa mkataba unalitaka jengo hilo liwe na vizimba elfu kumi lakini badala yake limekuwa na vizimba elfu nne tu huko gorofa ilitakiwa kuwa na gorofa tano upande mmoja na ghorofa sita upande mwingine lakini wamepewa jengo lenye gorofa nne kinyume na mkataba.
Mwita amebainisha kuwa Halmashauri hiyo haikuhusika na usimamizi wa fedha wa fedha zilizokopwa na kuifanya kushindwa kuthibitisha gharama zilizotumika .
"Mkataba ulitaka NSSF kutoa fedha kwa Halmashauri ya Jiji kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo jambo ambalo halikufanyika ,huku fedha zilizoongezeka kutoka shilingi bilioni 12.14 hadi kufukia shilingi Bilioni 12.7 ziliongezwa bila kufikia makubaliano yoyote kaika halamshauri na NSSF."ameongeza kusema Mwita.
Aidha Mwita amesema licha ya Halmashauri hiyo kwa muda mrefu imekuwa ikijaribu kutafuta muafaka na NSSF wa ulipaji deni hilo bila mafanikio .
"Kwa kutambua umuhimu wa urejeshaji wa fedha hizo zinazotakanwa na michango ya wanachama wa mfuko huo na kwa kuzigatia hali halmahsauri ya jiji tumebaini halilipiki,''
Pia jiji hilo limesema wako tayari kulikabidhi jengo hilo kwa NSSF ili wao waliendeshe ili waweze kurejesha fedha zilizotolewa na mfuko huo kama mkopo kwa halmashauri ya jiji ya ujenzi wa jengo hilo kutokana na jiji hilo kushindwa kulipa deni hilo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Meya wa Jiji hilo, Isaya Mwita amesema wamefiia hatua hiyo ya kuwataka viongozi wa serikalini pamoja na kurudisha jengo hilo kutokana na kutorizika na hatua ya NSSF kuwataka walipe bilioni 40 tofautisha na mkataba unavyotaka.
"Jiji la halmashauri ya jiji la Dar es Salaam ilingia mkataba na NSSF wa mkopo wa shilingi bilioni 10 kwa ajili ya ujenzi wa jengo hili mkataba huu ulifanyiwa nyongeza ya bilioni 12.45 na kufanya mkopo ambao tunadaiwa ni bilioni 12.45,''
''lakini makabidhiano ya jengo yalifanyika mwaka 2010 garama jengo ilikuwa ni Bilioni 12.7 kwa sasa kwamba eti deni hilo linaladaliwa kuwa zaidi ya bilioni 40"amesema Mwita.
Mwita ambaye ni meya wa anayeungwa mkono na Vyama vinavyounda ukawa amesema Halmashauri ya jiji hilo imebaini pia kuna ukiukwaji mkubwa wa kimkataba katika jengo hilo kwakuwa mkataba unalitaka jengo hilo liwe na vizimba elfu kumi lakini badala yake limekuwa na vizimba elfu nne tu huko gorofa ilitakiwa kuwa na gorofa tano upande mmoja na ghorofa sita upande mwingine lakini wamepewa jengo lenye gorofa nne kinyume na mkataba.
Mwita amebainisha kuwa Halmashauri hiyo haikuhusika na usimamizi wa fedha wa fedha zilizokopwa na kuifanya kushindwa kuthibitisha gharama zilizotumika .
"Mkataba ulitaka NSSF kutoa fedha kwa Halmashauri ya Jiji kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo jambo ambalo halikufanyika ,huku fedha zilizoongezeka kutoka shilingi bilioni 12.14 hadi kufukia shilingi Bilioni 12.7 ziliongezwa bila kufikia makubaliano yoyote kaika halamshauri na NSSF."ameongeza kusema Mwita.
Aidha Mwita amesema licha ya Halmashauri hiyo kwa muda mrefu imekuwa ikijaribu kutafuta muafaka na NSSF wa ulipaji deni hilo bila mafanikio .
"Kwa kutambua umuhimu wa urejeshaji wa fedha hizo zinazotakanwa na michango ya wanachama wa mfuko huo na kwa kuzigatia hali halmahsauri ya jiji tumebaini halilipiki,''



No comments:
Post a Comment