sPORTS nEWS: Yanga yaanza kwa kuchemeea VPL, yashindwa kufurukuta mbele ya Lipuli...#share
KLABU Yanga imevutwa shati na klabu ya Lipuli kwa kutoka bao
1-1 katika mchezo wea ligi kuu Tanzania Bara iliyomalizika hivi punde katika
Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mabao hayo yote yalipatikana kipindi cha kwanza ambapo Timu
ya Lipuli ilikuwea ya kwanza kupata goli dakika ya 44 kupitia kwa Seif Abdallah
huku Donald Ngoma akiisawazishia Yanga dakika ya 45’.
Kikosi cha Lipuli
kilichoanza katika mchezo huo kilikuwa kama ifuatavyo, Mohammed Yusuph, Samweli
Nkomela, Paul Ngalema, Novatus Lufunga, Ahsante Kwasi, Hamad Manzi, Salum
Machaku, Omega Seseme, Jerome Lalembe Seif Abdallah, Shaban Ada.
Huku kikosi cha Yanga kikianza na wachezaji, Youthe Rostand,
Juma Abdul, Gadiel Michael, Andrew Vicent, Kelvin Yondani, Papy Tshishimbi, Rafael
Daudi, Thabani Kamusoko, Ibrahimu Ajibu, Donald Ngoma, Emanuel Martin




No comments:
Post a Comment