sPORTS uPDATES: Jua kikosi kamili cha Simba kinachominyana na Yanga jioni hii.....#share

WAKATI jioni hii watani wajadi Simba na Yanga wakitarajia jioni hii kukutana katika mtanange wa kukata na shoka wa Ngao ya Jamii kuashiria kufunguliwa kwa msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara wa 2017/18.

Kifuatacho ni kikosi cha Simba kitakachoikabili Yanga.

Simba Sc vs Yanga 
Starting line-up

1.Aishi Manula
2.Ally Shomari
3.Erasto Nyoni
4.Salim Mbonde
5.Method Mwanjale
6.James Kotei
7.Shiza Kichuya
8.Mzamiru Yassin
9.Laudit Mavugo
10.Emanuel Okwi
11.Haruna Niyonzima

Sub;
1. E. Mseja
2.M. Tshabalala
3.Juuko M
4. J. Mkude
5.M.Kazimoto
6.J Luizio
7.MO Ibrahim

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search