Exclusive: Yanayojiri ndani ya Serena Hotel Jijini Dar es Salaam, Kampuni ya ITEL ikiadhimisha miaka 10 tokea kuanzishwa kwake..

Kampuni ya Kutengeneza Simu za mkononi ya Itel ya Nchini China, imetimiza miaka 10 tokea kufungua pazia la Biashara hususan Nchini Tanzania..
Matukio360 ianakuletea Exclusive Coverage ya matukio mbali mbali katika picha yanayojiri wakati huu kwenye hafla ya kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwa Kampuni ya hiyo inayofanyika Serena Hoteli jijini Dar es Salaam.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search