Sports News: Bayern Yamfurusha Ancelotti.. Soma Habari Kamili na Matukio 360..#share

KOCHA wa mabingwa watetezi wa Bundesliga Bayern Munich, Carlo Ancelotti ametimuliwa, ikiwa ni siku moja baada ya kufungwa mabao 3-0 na PSG kwenye ligi ya mabingwa Ulaya, “ Champions League”.

Ancelloti alijiunga na Bayern msimu uliopita na kuchukua ubingwa wa Bundesliga, lakini aliondolewa katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ya 2016/17 na Real Madrid

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search