gOOD nEWS: Duka La Kwanza La TECNO SMART HUB Lamezinduliwa Leo Jijini Dar es Salaam....#share




PIchani ni Eric Mkomoye ambaye ni Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini ya Tecno akizingumza na waandishi wa habari(Hawapo Pichani) leo Juu ya uzinduzi wa Duka Jipya la kuuza simu za Tecno,Duka hilo ambalo lipo karikoo Jijini hapa,kwenye Jengo la China Plaza


Katika duka letu la“TECNO SMART HUB” ni duka la suluhisho zoteza simuza simujanja,vifaa vya simu na huduma mbalimbali za kidigitali.

Pengine,chakusisitiza zaidi ya yote, duka hali tunauza au kuonyesha bidhaa tu bali wateja watapata fursa ya kufahamu kwaundani bidhaa na huduma zipatakinazo kwenye duka hilo.

Wakati wa Uzinduzi wateja walipa tanafasi yakushinda zawadik ambazo ni TV ya inchi 32, Feni na kadhalika, pia walipata burudani kutoka kwa crew ya wachezaji.

TECNO, kama kiongozi wa simu za mkononi, hutoa simu bora za mkononi na huduma bora kwa watumiaji wa Tanzania, na katika TECNO SMART HUB, unaweza kufurahia bora kwa maisha yako mwenyewe ya simu ya mkononi.

Uzinduziwa TECNO SMART HUB shuduia picha zaidi
Smart Hub views:











Street Marching:
Flash Mob:



Phone experiencing:



Lucky draw:


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search