Jaji Mkuu Mstaafu, Othman Chande amtembelea hospitaliTundu Lisssu...#share
NAIROBI: Jaji Mkuu Mstaafu, Othman Chande amemtembelea na kumjulia hali Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu aliyelazwa Jijini Nairobi nchini Kenye baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiofahamika siku kadhaa zilizopita akiwa mjini

Pichani Katikati ni Jaji Mkuu Mstaafu Othman Chande akiwa na mke wa za Lissu pamoja na wa Mbunge Jushua Nassari alipoenda hospitali kumjulia hali kumjulia hali ya Tundu Lissu anayeendelea na matibabu.
No comments:
Post a Comment