Kufungiwa Gazeti la Mwanahalisi kwa Waibua TEF na Kutoa Tamko...Habari Kamili Hii Hapa na Matukio360..#share

SIKU moja  baada ya serikali ya Rais John Magufuli kulifungia Gazeti linalotoka kwa wiki la Mwanahalisi kwa kile kinachoelezwa na serikali hiyo kuwa gazeti hilo limekiuka misingi ya taaluma ya Habari.

Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) limeibuka na kuivaa serikali huku wakisema wanasikitishwa na hatua ya serikali kulifungia gazeti hilo kwa madai kuwa sheria mpya ya huduma ya habari ya mwaka 2016 haitoi mwanya kwa gazeti kufungiwa bali linataka masuala husika a habari kupelekwa mahakamani.


Kwa mujibu wa iliyotolewa na Mwenyekiti wa (TEF) Theophil Makunga kwa vyombo vya habari amesema Jukwaa la hilo limeskitishwa na taarifa ya serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi kwa miezi 24.

Tamko la TEF

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search