News Updates: Hii hapa taarifa njema kutoka Nairobi, Kenya maendeleo ya Rais wa TLS, Mbunge Tundu Lissu...#shaare
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesem
Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho Tundu Lissu ameanza kuongea na kula.

Hayo yamebainishwa leo jijini Nairobi nchini Kenye Mwenyekiti
wa Chadema na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa
habari, amekanusha taarifa zinazoenea kuwa Lissu amepata maambukizi ambayo
yanatishia maisha yake.
“Hali ya Lissu inabadilika kila siku, ni wahakikishie tu
wananchi kuwa anaendelea kurejea katika hali yake,” amesema Mbowe.
Aidha mbowe ameeleza kwamba Mbunge huyo wa Singida Mashariki ameweza
kuonana na baadhi ya watu waliomtembelea kwa maelekezo ya madaktari ambao
wanamtibu.
"Pamoja na kwamba kuna watu wengi wanataka kumuona
lakini ni wachache wanaoruhusiwa kumuona kwa kuwa madaktari wanataka
apumzike,"amesema.
Na Mwandishi Wetu
No comments:
Post a Comment