CCM yampongeza Mbunge wake kwa kuwasaidia Chadema Ndege ya Lissu...#share


CHAMA cha Mapinduzi (CCM) mwanachama wake na Mbunge wa Mpendae Salim Hassan Turky kwa kitendo chake cha utu, upendo na imani cha kutoa msaada wa ndege uliokuwa ukihitajika haraka ili kumsafirisha Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu kwenda Nairobi Kenya Kwa matibabu




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search