JPM Atuma Salamu Za Rambirambi..Ni Kufuatia Vifo Vya Watu 12 Waliofia Ziwani Mwanza..Soma Habari Kamili na Matukio360..#share

RAIS John Magufuli ametuma salamu za rambi rambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella kufuatia ajali ya basi la abiria iliyoua watu 12 na kujeruhi watatu baada ya kuzama katika ziwa Victoria baada ya kugonga vizuizi vya kivuko cha Kigongo Wilayani Misungwi na kisha kutumbukia na kuzama majini.
Image result for rais Magufuli
Taarifa kamili ya IkKULU.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search