Naibu waziri afanya ziara Ushetu...soma habari kamili na Matukio360..#share

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, (Sekta ya Ujenzi), ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ushetu, mkoani Shinyanga, Mheshimiwa Elias  Kwandikwa, akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa katapila lililonunuliwa  na Halamashauri ya wilaya ya Ushetu kwa kutumia  mapato yake ya ndani kwa ajili ya ujenzi wa barabara katika halamshauri hiyo.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search