Bongo Starehe: Baba Lulu awananga wanaomhukumu mwanae.. "kwanza wakati Kanumba anafariki Lulu alikuwa mdogo sana" #share
Baba mzazi wa muigizaji wa filamu bongo Elizabeth Michael, Mzee Michael Kimemeta, amefunguka juu ya matatizo yanayomkabili binti yake, na kusema kwamba angejua mienendo yake inakoelekea angechukua hatua mapema kudhibiti.
Mzee Michael ameyasema hayo leo alipokuwa akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba huenda malezi ambayo alikuwa anayapata na kumuacha huru zaidi kufanya akipendacho, ndio kilichomsababishia mwanaye kukutwa na maswahibu hayo.
“Kuja kwenye tasnia yake sikuona ajabu pamoja na kwamba sikujua kama angekuja kwenye tasnia hii ya usanii, tungekuwa kama wazungu.
kuangalia watoto ningegundua mapema, maana dalili zilikuwa zinaonekana tangu zamani, ndio maana nilikuwa namkazania kusoma na siku-‘favour’ sana mambo yake ya sanaa ”.
Amesema Mzee Kimemeta na kuongeza kuwa; hata tukio la kifo cha Kanumba lilitokea wakati akiwa na umri mdogo, na kuwataka watu kutomhukumu bali kuviachia vyombo husika vifanye uamuzi wake...
Mzee Michael ameyasema hayo leo alipokuwa akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kwamba huenda malezi ambayo alikuwa anayapata na kumuacha huru zaidi kufanya akipendacho, ndio kilichomsababishia mwanaye kukutwa na maswahibu hayo.
“Kuja kwenye tasnia yake sikuona ajabu pamoja na kwamba sikujua kama angekuja kwenye tasnia hii ya usanii, tungekuwa kama wazungu.
kuangalia watoto ningegundua mapema, maana dalili zilikuwa zinaonekana tangu zamani, ndio maana nilikuwa namkazania kusoma na siku-‘favour’ sana mambo yake ya sanaa ”.
Amesema Mzee Kimemeta na kuongeza kuwa; hata tukio la kifo cha Kanumba lilitokea wakati akiwa na umri mdogo, na kuwataka watu kutomhukumu bali kuviachia vyombo husika vifanye uamuzi wake...
No comments:
Post a Comment