TCRA wateta na viongozi wa Dini...Soma habari kamili na Matukio360..#share
Na Abraham Ntambara
VIONGOZI wa Dini nchini wametakiwa kuongeza jitihada za mafunzo ya kiroho na maadili kwa waumini ili kutojiingiza katika makosa ya kimtandao.
Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam Sheikh Alhad Mussa Salum.
Amesema sababu kubwa ya jamii kuingia katika uhalifu wa
makosa ya kimtandao ni ukosefu wa maadili, kutoelewa vizuri sheria ya mtandao
na baadhi ya watu kutoheshimu utu wa mtu.
"Chanzo kikubwa ni ukosefu wa maadili, hivyo watu
hawathamini utu wa mtu mwingine , tunawaomba viongozi wadini ujumbe huu ufike
kwa waumini, muwafundishe maadili," amesema Mwangaza.
Mkurugezi wa TCRA James Kilaba amewataka viongozi hao
kutumia elimu waliyoipata na kuwaelimisha waumini kutokubali kupokea na
kusambaza tarifa zisizofaa na badala yake walipoti vituo vya polisi.
Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam
Sheikh Alhad Mussa Salum amesema elimu waliyoipata itakuwa ni wimbo wa
kueleimsha jamii kuhusu matumizi sahihi mitandao kwa kufuata sheria za .




No comments:
Post a Comment