NEC yalalamika....soma habari kamili na Matuklio360..#share

Na Mwandishi wetu
TUME ya taifa ya uchaguzi(Nec) imekanusha taarifa za kupiga marufuku vyama vya siasa kufanya kampeni kwenye kata  zitakazofanya uchaguzi mdogo wa marudio wa udiwani.



Mkurugenzi wa NEC, Kailima Ramadhani aliyeshika daftari

Kata hizo 43 zinatarajia kufanya uchaguzi Novemba26, 2017.

Taarifa kwa vyombo vya habari kutoka NEC inasema "MKURUGENZI WA UCHAGUZI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, KAILIMA RAMADHANI AMESEMA KUWA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI HAIJAVIFUNGA MDOMO VYAMA VYA SIASA  KUFANYA KAMPENI KWENYE KATA ZENYE UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI."

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search