Video: Rais Magufuli kufanya ziara ya siku nne mkoani Kagera.. soma taarifa kamili na matukio360.. #share

Rais John Pombe Magufuli atawasili Mkoani Kagera siku ya Jumatatu 6/11/2017 kwa ziara ya kikazi mpaka 9/11/2017.
Tarehe 6/11/2017 Katika Manispaa ya Bukoba saa nane mchana atazindua rasmi uwanja wa ndege wa Bukoba na baada ya hapo atakuwa na mkutano wa hadhara na kuongea na wananchi katika eneo la uwanja wa ndege Bukoba,
(Video chini: Rais Magufuli akiwa amebarizi anasikiliza wimbo wa kabila la Wasukuma pamoja na Mama yake mzazi Suzana Magufuli (kushoto) na Dada yake Mkubwa Monica Joseph Magufuli (kulia))
7/11/2017 asubuhi ataelekea wilaya ya Karagwe na atazindua barabara eneo la kihanga (kishoju ) 8/11/2017 asubuhi atatembelea kiwanda cha sukari Kagera sugar wilaya ya Missenye atatembelea mashamba ya miwa na kutembea kiwanda, na atakutana na wafanyakazi na uongozi, 9/11/2017 Rais Magufuli na Rais Museveni wa Uganda watazindua majengo ya Forodha katika mpaka wa Mutukula na wote wawili watazungumza na wananchi.
![]() |
Rais Magufuli katika picha mojawapo kutoka maktaba |
Tarehe 6/11/2017 Katika Manispaa ya Bukoba saa nane mchana atazindua rasmi uwanja wa ndege wa Bukoba na baada ya hapo atakuwa na mkutano wa hadhara na kuongea na wananchi katika eneo la uwanja wa ndege Bukoba,
(Video chini: Rais Magufuli akiwa amebarizi anasikiliza wimbo wa kabila la Wasukuma pamoja na Mama yake mzazi Suzana Magufuli (kushoto) na Dada yake Mkubwa Monica Joseph Magufuli (kulia))
7/11/2017 asubuhi ataelekea wilaya ya Karagwe na atazindua barabara eneo la kihanga (kishoju ) 8/11/2017 asubuhi atatembelea kiwanda cha sukari Kagera sugar wilaya ya Missenye atatembelea mashamba ya miwa na kutembea kiwanda, na atakutana na wafanyakazi na uongozi, 9/11/2017 Rais Magufuli na Rais Museveni wa Uganda watazindua majengo ya Forodha katika mpaka wa Mutukula na wote wawili watazungumza na wananchi.
No comments:
Post a Comment