Magufuli atoa rambirambi kifo Joel Bendera...soma habari kamili na matukio360...#share

Rais John Magufuli ametuma salamu za rambirabi kufuatia kifo cha aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Manyara Dk. Joel Nkaya Bendera kilichotokea jioni ya leo katika hospitsli ya Taifa Muhimbili (NMH) alipokuwa akipatiwa matibabu.


Rais John Magu

"Jioni hii nimepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa za kifo  cha mkuu wa mkoa mstaafu Dk. Joel Nkaya Bendera, natoa pole kwa familia yake na wote walioguswa na msiba huu na pia naungana nao katika kipindi hiki cha majonzi," amesema Rais Magufuli.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search