Magufuli atua Dodoma...soma habari kamili na matukio360..#share
Na mwandishi wetu
RAIS John Magufuli yupo mkoani Dodoma kuhudhuria maadhimisho ya miaka 56 ya uhuru yatakayofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini humo.
RAIS John Magufuli yupo mkoani Dodoma kuhudhuria maadhimisho ya miaka 56 ya uhuru yatakayofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini humo.
Rais John Magufuli
Akiwa mjini Dodoma rais Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) atafungua vikao vya jumuiya za chama hicho na pia atakuwa mgeni rasmi katika shughuli mbalimbali za kiserikali





No comments:
Post a Comment