Wema ajiondoa Chadema...Soma habari kamili na matukio360...#share

MISS Tanzania wa mwaka 2006 na mwigizaji filamu Wema  Sepetu ametangaza rasmi kurudi CCM


Mlimbwende huyo amedai  kwamba hawezi kuishi kwenye nyumba inayomkosesha amani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema kwamba anatangaza rasmi kuondoka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) alichojiunga nacho mapema mwaka 2017.


"Siwezi Kuendelea kuishi kwenye nyumba inayo nikosesha amani... Peace of mind is everything for me. Natangaza rasmi kuondoka Chadema na kurudi nyumbani" . amesema Wema .

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search