NEC kukutana na wadau vyama vya siasa..soma habari kamili na matukio360..#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
TUME ya taifa ya uchaguzi (NEC) kesho itakutana na wadau wa vyama vya siasa kujadili mchakato wa uchaguzi mdogo wa marudio wa ubunge na udiwani nchini.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji Semistocles Kaijage (katikati) akifafanua jambo kwenye kikao cha Tume kilichokaa leo (Jumamosi) Jijini Dar es Salaam kujadili mambo mbalimbali yanayohusu utekelezaji wa majukumu ya Tume. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Mkuu Mst. wa Zanzibar, Hamid Mahmoud Hamid na kulia ni Katibu wa Kikao hicho ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Ramadhan.
Taarifa ya NEC inasema mkutano huo utafanyika jijini Dar es salaam katika ukumbi wa kimataifa wa mwalimu Nyerere kuanzia majira ya saa mbili asubuhi.
Wajumbe wa Tume wakipokea na kusikiliza maoni ya Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu maandalizi ya Uchaguzi mdogo kwenye moja ya mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Viongozi wa Vyama vya Siasa jijini Dar es salaam.
TUME ya taifa ya uchaguzi (NEC) kesho itakutana na wadau wa vyama vya siasa kujadili mchakato wa uchaguzi mdogo wa marudio wa ubunge na udiwani nchini.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji Semistocles Kaijage (katikati) akifafanua jambo kwenye kikao cha Tume kilichokaa leo (Jumamosi) Jijini Dar es Salaam kujadili mambo mbalimbali yanayohusu utekelezaji wa majukumu ya Tume. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Mkuu Mst. wa Zanzibar, Hamid Mahmoud Hamid na kulia ni Katibu wa Kikao hicho ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Ramadhan.
Taarifa ya NEC inasema mkutano huo utafanyika jijini Dar es salaam katika ukumbi wa kimataifa wa mwalimu Nyerere kuanzia majira ya saa mbili asubuhi.
Wajumbe wa Tume wakipokea na kusikiliza maoni ya Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu maandalizi ya Uchaguzi mdogo kwenye moja ya mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Viongozi wa Vyama vya Siasa jijini Dar es salaam.





No comments:
Post a Comment