Jinsi Kingunge Kongambale Mwiru atakavyozikwa .....soma habari kamili na matukio360....#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
MWILI wa mwanasiasa mkongwe Kingunge Kongambale Mwiru leo majira ya saa 11 jioni umewasili nyumbani kwake Victoria jijini Dar es salaam ukitokea hospitali ya taifa Muhimbili na kupokelewa kwa uzuni.
MWILI wa mwanasiasa mkongwe Kingunge Kongambale Mwiru leo majira ya saa 11 jioni umewasili nyumbani kwake Victoria jijini Dar es salaam ukitokea hospitali ya taifa Muhimbili na kupokelewa kwa uzuni.
No comments:
Post a Comment