Magufuli amkabidhi bajaj mlemavu aliyemuahidi....soma habari kamili na matukio360...#share
Katibu wa Rais Ngusa Samike na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya
Rais Ikulu Gerson Msigwa wakimwongoza mlemavu wa maungo Yusuf
Abdulrahman Ndemanga kwenye Bajaji ambayo aliahidiwa na Rais John Magufuli walipokutana wakati wanavuka kwenye pantoni ya MV Kigamboni Agosti 25,
mwaka jana, kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo
Ijumaa Februari 2, 2018.
Katibu wa Rais Ngusa Samike akimkabidhi mlemavu wa
maungo Yusuf Abdulrahman Ndemanga Bajaji ambayo aliahidiwa na Rais John Magufuli walipokutana wakati wanavuka kwenye pantoni ya MV
Kigamboni Agosti 25, mwaka jana, kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini
Dar es salaam leo Ijumaa Februari 2, 2018. Kulia ni mkewe Ndemanga, Hawa Mohamed.
Mlemavu wa maungo Yusuf Abdulrahman Ndemanga na mkewe
Hawa Mohamed Wakiondoka na Bajaji ambayo aliahidiwa na Rais John Magufuli walipokutana wakati wanavuka kwenye pantoni ya MV Kigamboni Agosti 25,
mwaka jana, kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo
Ijumaa Februari 2, 2018.
Rais John Magufuli akimsikiliza Yusuph Abdulrahman Ndemanga ambaye ni mlemavu
wakati alipomkuta ndani ya jengo la abiria lililopo upande wa Magogoni kabla ya
kuvuka na Pantoni kuelekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
Kigamboni jijini Dar es Salaam Agosti 25, mwaka jana. Bw. Ndemanga alimuomba
Rais msada wa kupatiwa Bajaji ili ajimudu kiusafiri na kiuchumi.
Picha na IKULU
Picha na IKULU
No comments:
Post a Comment