Mbowe akanusha Chadema kujitoa katika uchaguzi....soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
Mwenyekiti taifa wa Chadema, Freeman Mbowe amekanusha Chadema kujitoa katika uchaguzi wa marudio was ubunge na udiwani utakaofanyika Februari 17, 2018.
Mbowe ameiambia matukio360 kuwa waraka uliotolewa ni propaganda na mchezo mchafu wa kisiasa.
"Ninapozungumza na wewe nipo katika mkutano wa kufunga kampeni. Huo waraka ni propaganda na mchezo mchafu wa kisiasa.Tunashiriki uchaguzi hiyo ni taarifa ya upotoshaji," amesema Mbowe.
Mbowe anatoa kauli hiyo kufuatia kuwapo kwa waraka unaosambaa katika mitandao ya kijamii ikidai Chadema imejitoa katika uchaguzi
Huu hapa waraka wenye;
Mwenyekiti taifa wa Chadema, Freeman Mbowe amekanusha Chadema kujitoa katika uchaguzi wa marudio was ubunge na udiwani utakaofanyika Februari 17, 2018.
Mbowe ameiambia matukio360 kuwa waraka uliotolewa ni propaganda na mchezo mchafu wa kisiasa.
"Ninapozungumza na wewe nipo katika mkutano wa kufunga kampeni. Huo waraka ni propaganda na mchezo mchafu wa kisiasa.Tunashiriki uchaguzi hiyo ni taarifa ya upotoshaji," amesema Mbowe.
Mbowe anatoa kauli hiyo kufuatia kuwapo kwa waraka unaosambaa katika mitandao ya kijamii ikidai Chadema imejitoa katika uchaguzi
Huu hapa waraka wenye;
No comments:
Post a Comment