Rushwa yatibua uchaguzi CCM...soma habari kamili na matukio360..#share

Na mwandishi  wetu
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimefuta mchakato wa kura ya maoni uliofanyika katika jimbo la Singida kaskazini kutokana na baadhi ya wagombea kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Katibu mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana

Taarifa iliyotolewa jioni hii na Katibu wa Nec-Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole inasema kutokana na hali hiyo  Haider Gulamali na Elia Mlangi wamezuiwa kugombea nafasi hiyo kutokana na kutuhumiwa kujihusisha na rushwa
Ongeza kichwa



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search