Morgan Tsvangirai afariki dunia..soma habari kamili na matukio360...

Na mashirika ya kimataifa

KIONGOZI mkuu wa upinzani nchini Zimbabwe, Morgan Tsvangirai amefariki dunia usiku wa jana.

Amefariki katika hospitali moja nchini Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu ya saratani ya utumbo.

Morgan Tsvangirai

Naibu Mwenyekiti wa chama cha MDC, Elias Mudzuri kupitia ukurasa wa twita alitangaza kifo hicho.
"Ninauzuni kutangaza kumpoteza mpambanaji na mpigania demekrasia," ameandika
Tangu mwaka 2016 Tsvangirai alikuwa akienda Afrika Kusini kupatiwa matibabu ya kansa

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search