Jacob Zuma ajiuzulu....soma habari kamili na matukio360....#share
Na mashirika ya kimataifa
HATIMAYE Jacob Zuma amejiuzulu urais wa nchi ya Afrika kusini.
Amejiuzulu jana usiku akiwa Ikulu, Pretoria. Amesema hatua yake hiyo imezingatia maslahi mapana ya wanachama wa ANC.
Jacob Zuma
Ameitumikia ANC kwa miaka 60. Zuma aliingia madarakani mwaka 2009. Chama chake cha ANC kimepokea uamuzi huo kwa furaha.
Sasa ANC inatarajia kupendekeza jina la rais mpya wa nchi hiyo ambaye atathibitishwa na Bunge la nchi hiyo.
Cyril Ramaphosa aliyechaguliwa kuwa rais wa chama hicho mwezi Disemba anatarajiwa kuwa rais wa taifa hilo.
Amejiuzulu jana usiku akiwa Ikulu, Pretoria. Amesema hatua yake hiyo imezingatia maslahi mapana ya wanachama wa ANC.
Jacob Zuma
Ameitumikia ANC kwa miaka 60. Zuma aliingia madarakani mwaka 2009. Chama chake cha ANC kimepokea uamuzi huo kwa furaha.
Sasa ANC inatarajia kupendekeza jina la rais mpya wa nchi hiyo ambaye atathibitishwa na Bunge la nchi hiyo.
Cyril Ramaphosa aliyechaguliwa kuwa rais wa chama hicho mwezi Disemba anatarajiwa kuwa rais wa taifa hilo.
No comments:
Post a Comment