IGP Sirro aapishwa kuwa mjumbe tume ya utumishi...soma habari kamili na matukio360...#share
Mkuu wa Jeshi la Polisi
nchini, IGP Simon Sirro akiapa mbele ya Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari kuwa
mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika jana Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro (kulia), akipokea hati ya kiapo kutoka kwa Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari, ambayo inamuwezesha kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika jana Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.

Kamishna wa Uhamiaji, Edward Chogero (kulia), akipokea hati ya kiapo kutoka kwa Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari, ambayo inamuwezesha kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika jana Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.

Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari,akizungumza na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro(kulia) na Kamishna wa Uhamiaji,Edward Chogero (kulia), baada ya kuwaapisha kuwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza.Tukio hilo limefanyika jana Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro (kulia), akipokea hati ya kiapo kutoka kwa Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari, ambayo inamuwezesha kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika jana Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.
Kamishna wa Uhamiaji, Edward Chogero (kulia), akipokea hati ya kiapo kutoka kwa Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari, ambayo inamuwezesha kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika jana Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.
Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari,akizungumza na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro(kulia) na Kamishna wa Uhamiaji,Edward Chogero (kulia), baada ya kuwaapisha kuwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza.Tukio hilo limefanyika jana Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.
Picha na Jeshi la Polisi
No comments:
Post a Comment