Jokate atumbuliwa UVCCM...soma habari kamili na matukio360...#share

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Kheri James ametengua uteuzi wa Kaimu Katibu Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi ya UVCCM Taifa Jokate Mwegelo kuanzia leo.
Uamuzi huo umefikiwa baada ya  Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM iliyokutana kwa dharura mchana chini ya Mwenyekiti huyo na taarifa zinaeleza kuwa nafasi yake itajazwa baadaye.

Mwaka 2006 Jokate alikuwa mshindi wa pili katika shindano la Miss Tanzania.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search