Kabourou kuzikwa kesho, Magufuli atuma rambirambi....soma habari kamili na matukio360..#share
Na mwandishi wetu
RAIS John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mbunge mstaafu wa Kigoma mjini, Dk Aman Kabourou aliyefariki usiku Machi 6, 2018 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili
Kabourou anatarajiwa kuzikwa kesho majira ya mchana mkoani Kigoma na mwili wake utasafirishwa leo kwa ndege.
Dk Aman Kabourou
RAIS John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mbunge mstaafu wa Kigoma mjini, Dk Aman Kabourou aliyefariki usiku Machi 6, 2018 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili
Kabourou anatarajiwa kuzikwa kesho majira ya mchana mkoani Kigoma na mwili wake utasafirishwa leo kwa ndege.
Dk Aman Kabourou
No comments:
Post a Comment