Robo fainali UEFA Liverpool Vs Man City, Madrid Vs Juventus.... soma habari kamili na matukio360...#sha
Na mashirika ya kimataifa
TIMU mbili za Uingereza zilizobaki katika mashindano ya klabu bingwa barani Ulaya Liverpool na Man City zitamenyana katika hatua ya robo fainali ya mashindano hayo.
Real Madrid watapambana na Juventus, Barcelona na AS Roma, Sevilla dhidi ya Bayern
Mechi za kwanza za Robo fainali zitachezwa kuanzia April 3-4 na Marudiano itakuwa kati ya April 10-11 mwaka huu
Vilevile Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA leo ikiwa ni siku moja baada ya kumalizika kwa hatua ya 16 bora ya Michuano ya Europa League wamechezesha droo ya robo fainali.
UEFA wamechezesha droo hiyo ya kupanga ratiba ya Mechi za robo fainali kuwa RB Leipzig v Marseille,Arsenal v CSKA Moscow,Atletico Madrid v Sporting Lisbon na Lazio v Salzburg
Mechi za kwanza za Robo fainali zitachezwa April 5 na Marudiano itakuwa April 12 mwaka huu
TIMU mbili za Uingereza zilizobaki katika mashindano ya klabu bingwa barani Ulaya Liverpool na Man City zitamenyana katika hatua ya robo fainali ya mashindano hayo.
Real Madrid watapambana na Juventus, Barcelona na AS Roma, Sevilla dhidi ya Bayern
Mechi za kwanza za Robo fainali zitachezwa kuanzia April 3-4 na Marudiano itakuwa kati ya April 10-11 mwaka huu
Ratiba kamili hii hapa;
Vilevile Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA leo ikiwa ni siku moja baada ya kumalizika kwa hatua ya 16 bora ya Michuano ya Europa League wamechezesha droo ya robo fainali.
UEFA wamechezesha droo hiyo ya kupanga ratiba ya Mechi za robo fainali kuwa RB Leipzig v Marseille,Arsenal v CSKA Moscow,Atletico Madrid v Sporting Lisbon na Lazio v Salzburg
Mechi za kwanza za Robo fainali zitachezwa April 5 na Marudiano itakuwa April 12 mwaka huu
No comments:
Post a Comment