Wambura aburuzwa kamati ya maadili TFF...soma habari kamili na matukio360...#share

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

KAMATI ya maadili ya TFF inakutana leo Machi 14, 2018 pamoja na mambo mengine kujadili suala la Makamu wa Rais wa Shirikisho hilo, Michael Wambura, aliyefikishwa kwenye kamati kwa makosa matatu.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo, amesema kuwa kosa la kwanza analokabiliwa nalo Wambura ni kupokea fedha za TFF. Pili, malipo yasiyo halali na tatu ni kugushi barua na kushusha hadhi ya TFF.



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search