Al Masry watua kuikabili Simba....soma habari kamili na matukio360...#share


Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam


Wapinzani wa Simba katika kombe la Shirikisho barani Afrika timu ya Al Masry kutoka Misri tayari wamewasili kwenye ardhi ya Tanzania kwa mapambano ya kutafuta nafasi ya kuingia 16 bora ya Michuano hiyo.



Siku ya Jumatano ya Marchi 7 wekundu wa Msimbazi Simba watakuwa kwenye uwanja wao Taifa jijini Dar es salaam kucheza na Al Masry kutoka Misri mchezo ambao unatarajiwa kuwa mzuri na mgumu kwa pande zote mbili kutokana na ubora wa vikosi vyote.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search