Yanga kuikabili Welayta Dicha ya Ethiopia.... soma habari kamili na matukio360...#share


Na mwandishi  wetu
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara, Yanga itaikabili timu ya Welayta Dicha ya Ethiopia katika hatua ya mtoani ya kombe la shirikisho barani Afrika.



Ratiba kamili:

1 Zanaco vs Raja Casablanca

2 Vita club vs Cm lamacha Congo

3 St George vs Carra Brazzaville

4 El Hilal vs Akwa united

5 Super Sports Vs Gormahia

 6 El bayt Vs Songo Mozambique

7 Usmer Alger Vs Cotton United

8 Enyimba vs Vits South

9 Ghana Vs Bouser Malagasy

10 Young African  Vs Welayta Dicha Ethiopia

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search