Ngongoro heroes yainyuka Msumbiji 2-1...soma habari kamili na matukio360...#share

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TIMU ya Taifa ya vijana chini ya miaka 20 “Ngorongoro
Heroes” imeibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya vijana wenzao wa Msumbiji.
Mchezo huo wa kirafiki
uliochezwa jioni hii katika dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam umeshuhudiwa
magoli hayo ya Ngorongoro Heroes yakifungwa na Abdul Suleima dakika ya 35 na
Said Mussa Bakari dakika ya 71 huku la Msumbiji likifungwa na Lionel Victor
dakika 13 (p).

No comments:
Post a Comment