VIDEO... LISSU ATUA ARUSHA KWA PRIVATE JET!! APOKEWA UKUMBINI KWA NDEREMO NA SHANGWE!!!



Mbunge wa Singida Mashariki ambaye pia ni Mwanasheria wa CHADEMA na mgombea wa Urais wa Tanganyika Law Society (TLS) Tundu Lissu ambaye awali alisomewa mashtaka 5 kuhusu maneno ya uchochezi aliyotoa ktk uchaguzi wa Dimani, Zanzibar ametua mjini Arusha kwa ndege maalum akitokea Mahakamani jijini Dar es Salaam amabako mchana huu ameachiwa kwa dhamana ya milioni 10..
endelea kufuatilia hapa kwa taarifa za kina...

Source: Tanzaniampyamatukio.blogspot.com

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search