BREAKING NEWS!! Lissu aukwaa uraisi TLS..




Mwanasheria Mkuu Wa Chadema Tundu Lissu ameshinda kiti cha Raisi wa TLS kwa kupata kura 1411 kati ya kula 1682 zilizopingwa leo asubuhi katika jiji Arusha.

Alikuwa anagombea nafasi ya Raisi wa Chama Cha Wana sheria (TLS) na kwamba ushindi wa Lissu ni sawa na asilimia 80.

Mapema jana mgombea mwengine wa nafasi hiyo bwana Lawrence Masha alijiengua katika kipute hicho hatua iliyotafsiriwa kumpa afuweni mshindi huyo mpya wa nafasi ya uraisi wa TLS.

Na. Mwandishi maalum.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search