BREAKING NEWS!! WIZI WA MAFUTA YA 'BOMBADIA' WANNE WAPANDISHWA KIZIMBANI
MAFUTA YA 'BOMBADIA YABURUTA WANNE KIZIMBANI!! PATA HABARI HII NA NYENGINE KUPITIA WWW.TANZANIAMPYAMATUKIO.BLOGSPOT.COM
NA: Mwandishi Maalum; Matukio.
Watu wanne wakiwamo maofisa wawili wa jeshi la polisi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la uhujumu uchumi kwa kuchota Lita 280.6 za mafuta ya ndege ya ATCL.
Wakili wa Serikali , Nassoro Katuga aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya Moko, Iddy Juma Nyangas (42), Askari F. 8419 Koplo, Bahati Msilimini (33), F. 9901 ,PC Benaus (34) na Fundi Ndege, Ramadhan Mwishehe (52).
Akisoma hati ya mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Victoria Nongwa, washtakiwa hao wanaiwa kutenda kosa hilo kati ya Machi Mosi na 17,2017.
Alidai kuwa kati ya Machi Mosi na 17, 2017 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Jk Nyerere walichota Lita 280.6 za mafuta ya ndege Jet AI ya ATCL
Katuga alidai kuwa walichota mafuta hayo kutoka kwenye ndege hiyo ya ATCL 5H-MWF-DASH8Q300.
Washtakiwa hawakuruhusiwa kuongea chochote kwa sababu wanakabiliwa na shtaka la uhujumu uchumi ambalo makama hiyo haina uwezo wa kulisikiliza. Na kesi hiyo itatajwa tena April 1, 2017
NA: Mwandishi Maalum; Matukio.
Watu wanne wakiwamo maofisa wawili wa jeshi la polisi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la uhujumu uchumi kwa kuchota Lita 280.6 za mafuta ya ndege ya ATCL.
Wakili wa Serikali , Nassoro Katuga aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya Moko, Iddy Juma Nyangas (42), Askari F. 8419 Koplo, Bahati Msilimini (33), F. 9901 ,PC Benaus (34) na Fundi Ndege, Ramadhan Mwishehe (52).
Akisoma hati ya mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Victoria Nongwa, washtakiwa hao wanaiwa kutenda kosa hilo kati ya Machi Mosi na 17,2017.
Alidai kuwa kati ya Machi Mosi na 17, 2017 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Jk Nyerere walichota Lita 280.6 za mafuta ya ndege Jet AI ya ATCL
Katuga alidai kuwa walichota mafuta hayo kutoka kwenye ndege hiyo ya ATCL 5H-MWF-DASH8Q300.
Washtakiwa hawakuruhusiwa kuongea chochote kwa sababu wanakabiliwa na shtaka la uhujumu uchumi ambalo makama hiyo haina uwezo wa kulisikiliza. Na kesi hiyo itatajwa tena April 1, 2017
No comments:
Post a Comment