GWAJIMA ATEMBELEA OFISI ZA CLOUDS MEDIA.. NI ZIARA YA KUWAPA POLE KAMA ALIVYOAHIDI !

Mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima, Josephat Gwajima amewasili ofisi za clouds media kama alivyoahidi.


Kiongozi huyo wa kanisa la ufufuo na uzima amefika katika ofisi hizo saa 4:00 asubuhi akiwa na msafara wa magari zaidi ya manne huku yeye akiwa kwenye gari aina ya Hammer na kupokelewa na mwenyeji wake Ruge Mutahaba. Gwajima amesema ameenda Clouds kwa sababu yeye ni sehemu ya stori na hio sio stori ya kisiasa. Amedai clouds wamefanya huo ufafanuzi kwa nia njema, kutaka kuombwa radhi na mtu mmoja alietumia madaraka yake vibaya na sio serikali.

Source: Jamii Forum.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search