MBOWE MATATANI TENA; ALIPISHWA FAINI YA SHS 1.5M KESI YAFUTWA!!



Kesi ya jinai iliyokuwa ikimkabili mbunge wa jimbo la Hai kwa tiketi ya Chadema imefutwa baada ya mahakama ya Ilala baada ya mshtakiwa huyo kulipa fidia..

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imempiga faini ya Sh 1.5milioni Mwenyekiti huyo bwana  Freeman Mbowe baada ya kukiri shtaka linalowakabil.

Mbowe na mkewe Dk Lilian Mtei na Meneja wa Bilicanas wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kushindwa kutumia mashine ya Kielektroni ya EFDs.

Kutokana na uamuzi huo,  Wakili kutoka TRA Marcel Busegano aliomba Mahakama hiyo kuondoa mashtaka hayo mahakamani hapo baada ya washtakiwa hao kukiri na kulipa fidia hiyo.

Source: Tanzania Mpya Matukio.




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search