UTEUZI: MRITHI WA KIDATA WA TRA APATIKANA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 25/03/2017 amemteua Bw. Charles Edward Kichere kuwa Kamishna Mkuu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Pitia Taarifa kamili hapa chini kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.
Pitia Taarifa kamili hapa chini kwa hisani ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.



No comments:
Post a Comment