BREAKING NEWS!! BANDARI WANASA KONTENA 262 ZA 'MCHANGA WA DHAHABU'
- NI KUFUATIA AMSHA-AMSHA MPYA YA RAIS MAGUFULI
- ZILIHIFADHIWA BANDARI YA MOFAD
Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA imekamata makontena 262 yenye mchanga wa dhahabu ambao ulikuwa unasafirishwa nje ya nchi.
Hatua hiyo imekuja siku mbili baada ya Raisi John Magufuli kufanya ziara katika Bandai hiyo na kujienea madudu katika Bandai hiyo ikiwemo kontena lililosomeka kubabe mzigo wa mitumba likiwa limebeba gari.
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Deusdedit Kakoko alisema mchanga huo ulikuwa wa mgodi wa Buzwag na kwamba mchanga huo ulikuwa umehifaahiwa katika bandari ya Mofad.
Amesema bandari itaendelea na msako kwenye ICDs zote kwa ajili kutafuta wahalifu hao.
Kwa taarifa zaidi endelea Kuna nasi ili uweze kupata matukio 'Mubashara' kadri yanavyotufikia kupitia mtandao wako wa matukio: www.tanzaniampyamatukio.blogspot.com.
Na: Mwandishi Maalum.



No comments:
Post a Comment