UTEUZI: RAIS DKT. MAGUFULI ATEUA KATIBU MKUU MPYA IKULU.. NI KIDATA WA TRA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. John P. J. Magufuli amemteua Ndugu Alfayo Kidata kuwa Katibu Mkuu-Ikulu. 
Kidata anachukua nafasi ya Ndugu Peter Ilomo aliyestaafu. Kabla ya uteuzi huo,Kidata alikuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA. Nafasi ya TRA itajazwa baadaye

Chanzo: ITV Habari

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search