VIDEO: KUAPISHWA KWA DKT. MWAKIEMBE; WADAU WAELEZA MATARAJIO,WATAKA MABADILIKO;

“Kiukweli tulimzoea na kuna mambo mengi amefanya lakini pia siwezi kumzungumzia sana Waziri mpya Dr Mwakyembe kwa sababu ndio kwanza ameteuliwa kuwa Waziri wa Wizara hiyo. Tunatarajia au matumaini yetu sisi atafanya kazi ataleta mabadiliko.
“Kikubwa sisi tumempokea na pia tunaomba akutane na sisi wadau wa filamu tumueleze changamoto zinazotukabili, wasanii tumechoka ahadi sasa Dr Mwakyembe tunataka mabadiliko kwenye sekta ya filamu.” – Simon Mwakifwamba

Rais wa shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba 

Bofya hapa kumsikiliza Mwakifamba... 

Msikilize Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba alezungumza baada ya kuapishwa kwa Waziri mpya wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr Mwakyembe alieteuliwa katika wizara hiyo kumtaka alete mabadiliko. 

PIA ITAZAME HII VIDEO YA HARMO RAPA KUTIMUA MBIO BAADA YA KUONA KITU CHA BASTOLA, UJUE NI KWA NINI ALIAMUA KUFANYA HIVYO...


Video na picha kwa hisani ya: Millard Ayo Online platform... 

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search