ANGALIA VIDEO YA HARMORAPA ALIVYORSHIWA CHUPA NA SHABIKI STEJINI 

Hii ilitokea Jumamosi Maisha Club baada ya shabiki kumtupia chupa Harmorapa akiwa stejini , Jamaa huyo alishushiwa kipigo na walinzi wa hapo na kumuhisi kuwa alikuwa ametumwa ila yeye alikataa katu kuwa hakutumwa alikuwa kalewa. Meneja wake Irene Sabuka alilaani vikali tukio na kusema kuna watu wasanii wakubwa wapo nyuma ya tukio hilo na wamemtuma huyo kijana kuja kuharibu. kuwaomba radhi mashabiki kwa tukio hilo kisha Harmorapa na meneja wake wakaenda kituo cha polisi Mbatini kutoa taarifa.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search