UMAHIRI KIWANJANI: TUMEPOKEA VIDEO HIZI MBILI KWA HISANI KUBWA YA 'MTU WA NGUVU' MILLARD AYO..

Moja kati ya majina yaliojipatia umaarufu na heshima kubwa katika soka ni Zinedine Zidane na Ronaldinho ambao uwezo wao umeifanya dunia ya soka kutokusahau mchango wao, Zidane ni mahiri katika kucheza mpira na kufanyia mbwembwe kama ilivyo kwa Ronaldinho.

HEBU JIKUMBUSHE KIDOGO... PIA USISAHAU KUMUANGALIA MBWANA SAMATA AKIFANYA VITU VYAKE KATIKA MECHI YA STARS NA BOTSWANA...


ALL GOALS: Taifa Stars vs Botswana March 25 2017, Full Time 2-0

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search